forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
691 B
Markdown
24 lines
691 B
Markdown
# mti wa uzima
|
|
|
|
"mti unaowapa watu uzima"
|
|
|
|
# uzima
|
|
|
|
Hapa ina maana "uzima wa milele" au maisha yasiyokuwa na mwisho.
|
|
|
|
# mti wa ujuzi wa mema na mabaya
|
|
|
|
"mti unaowapa watu uwezo wa kuelewa mema na mabaya" au "mti unaowafanya watu wale matunda yake na kuwafanya kuelewa mema na mabaya"
|
|
|
|
# mema na mabaya
|
|
|
|
Huu ni msemo ambao una maana mbili tofauti kabisa na kila kitu katikati. "kila kitu kujumlisha yote mema na mabaya"
|
|
|
|
# katikati ya bustani
|
|
|
|
"katikati ya bustani". Yawezekana miti hii miwili haikuwa katikati ya bustani kabisa.
|
|
|
|
# Mto ukatoka nje ya Edeni kuitia maji bustani
|
|
|
|
Bustani ilikuwa Edeni. Mto uliendelea kutiririka kutoka Edeni. "Mto ukatoka kupitia Edeni na kumwagilia bustani"
|