sw_tn/gen/02/09.md

24 lines
691 B
Markdown

# mti wa uzima
"mti unaowapa watu uzima"
# uzima
Hapa ina maana "uzima wa milele" au maisha yasiyokuwa na mwisho.
# mti wa ujuzi wa mema na mabaya
"mti unaowapa watu uwezo wa kuelewa mema na mabaya" au "mti unaowafanya watu wale matunda yake na kuwafanya kuelewa mema na mabaya"
# mema na mabaya
Huu ni msemo ambao una maana mbili tofauti kabisa na kila kitu katikati. "kila kitu kujumlisha yote mema na mabaya"
# katikati ya bustani
"katikati ya bustani". Yawezekana miti hii miwili haikuwa katikati ya bustani kabisa.
# Mto ukatoka nje ya Edeni kuitia maji bustani
Bustani ilikuwa Edeni. Mto uliendelea kutiririka kutoka Edeni. "Mto ukatoka kupitia Edeni na kumwagilia bustani"