sw_tn/gen/02/09.md

691 B

mti wa uzima

"mti unaowapa watu uzima"

uzima

Hapa ina maana "uzima wa milele" au maisha yasiyokuwa na mwisho.

mti wa ujuzi wa mema na mabaya

"mti unaowapa watu uwezo wa kuelewa mema na mabaya" au "mti unaowafanya watu wale matunda yake na kuwafanya kuelewa mema na mabaya"

mema na mabaya

Huu ni msemo ambao una maana mbili tofauti kabisa na kila kitu katikati. "kila kitu kujumlisha yote mema na mabaya"

katikati ya bustani

"katikati ya bustani". Yawezekana miti hii miwili haikuwa katikati ya bustani kabisa.

Mto ukatoka nje ya Edeni kuitia maji bustani

Bustani ilikuwa Edeni. Mto uliendelea kutiririka kutoka Edeni. "Mto ukatoka kupitia Edeni na kumwagilia bustani"