sw_tn/gen/02/01.md

828 B

mbingu

"anga" au "mbingu"

na viumbe hai vyote vilivyo jaza

"na viumbe hai vingi ambavyo vimo ndani yao" au "na makundi ya viumbe hai vinavyoishi ndani mwao"

zilimalizika

Hii inaweza kutajwa katika njia endelevu "Mungu alimaliza kuviumba"

Siku ya saba Mungu alifikia mwisho wa kazi yake

Mungu hakufanya kazi kabisa katika siku ya saba.

alifikia mwisho wa

Hii ni lahaja. "alikuwa amemaliza"

alipumzika siku ya saba kutoka kwenye kazi yake yote

"katika siku hiyo hakufanya kazi"

Mungu akaibarikia siku ya saba

Yawezekana maana ni 1) Mungu alisababisha siku ya saba kutoa matokeo mazuri au 2) Mungu alisema ya kwamba siku ya saba ilikuwa nzuri.

na akaitakasa

"na akaiweka kando" au "na kuifanya iwe yake"

katika siku hiyo alipumzika kutoka kwenye kazi yake yote

"katika siku hiyo hakufanya kazi"