forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
828 B
Markdown
36 lines
828 B
Markdown
|
# mbingu
|
||
|
|
||
|
"anga" au "mbingu"
|
||
|
|
||
|
# na viumbe hai vyote vilivyo jaza
|
||
|
|
||
|
"na viumbe hai vingi ambavyo vimo ndani yao" au "na makundi ya viumbe hai vinavyoishi ndani mwao"
|
||
|
|
||
|
# zilimalizika
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutajwa katika njia endelevu "Mungu alimaliza kuviumba"
|
||
|
|
||
|
# Siku ya saba Mungu alifikia mwisho wa kazi yake
|
||
|
|
||
|
Mungu hakufanya kazi kabisa katika siku ya saba.
|
||
|
|
||
|
# alifikia mwisho wa
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "alikuwa amemaliza"
|
||
|
|
||
|
# alipumzika siku ya saba kutoka kwenye kazi yake yote
|
||
|
|
||
|
"katika siku hiyo hakufanya kazi"
|
||
|
|
||
|
# Mungu akaibarikia siku ya saba
|
||
|
|
||
|
Yawezekana maana ni 1) Mungu alisababisha siku ya saba kutoa matokeo mazuri au 2) Mungu alisema ya kwamba siku ya saba ilikuwa nzuri.
|
||
|
|
||
|
# na akaitakasa
|
||
|
|
||
|
"na akaiweka kando" au "na kuifanya iwe yake"
|
||
|
|
||
|
# katika siku hiyo alipumzika kutoka kwenye kazi yake yote
|
||
|
|
||
|
"katika siku hiyo hakufanya kazi"
|