sw_tn/gen/01/16.md

964 B

Mungu akafanya mianga mikuu miwili

"Kwa njia hii Mungu akafanya mianga miwili mikuu" Sentensi hii inaelezea Mungu alichofanya alipozungumza.

mianga miwili mikuu

"mianga miwili mikuu" au "mianga miwili ing'aaro". Mianga miwili mikuu ni jua na mwezi.

kutawala mchana

"kuongoza mchana kama mtawala angozapo kundi la watu" au "kuweka alama katika siku"

siku

Hii inamaanisha masaa ya mchana pekee

mwanga mdogo

"mwanga mdogo" au "mwanga hafifu"

katika anga

"katika mbingu" au "katika uwazi wa angani"

kutenganisha mwanga na giza

"kutenganisha mwanga na giza" au "kutoa mwanga kwa kipindi kimoja na giza kwa kingine.

Mungu akaona kuwa ni vyema

Hapa "ni" inamaanisha jua, mwezi na nyota.

jioni na asubuhi

Hii inamaanisha siku nzima. Mwandishi anazungumzia siku nzima kana kwamba ni sehemu mbili. Kwa tamaduni za Kiyahudi, siku moja huanza baada ya jua kuzama.

siku ya nne

Hii inamaanisha siku ya nne ambapo ulimwengu ulianza kuwepo.