forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.5 KiB
Markdown
44 lines
1.5 KiB
Markdown
# Kuwe na mianga katika anga
|
|
|
|
Hii ni amri. Kwa kuamuru ya kwamba mianga iwepo, Mungu alifanya iwepo
|
|
|
|
# mianga katika anga
|
|
|
|
"vitu ving'aavyo katika anga" au"vitu vitoavyo mwanga katika anga". Hii inaamanisha jua, mwezi na nyota
|
|
|
|
# katika anga
|
|
|
|
"katika uwazi wa anga" au "katika uwazi mkubwa wa anga"
|
|
|
|
# kutenganisha mchana na usiku
|
|
|
|
"kutenganisha mchana na usiku." Hii inamaanisha "kutusaidia kutambua tofauti kati ya mchana na usiku." Jua inamaanisha ni mchana, na mwezi na nyota humaanisha ni usiku.
|
|
|
|
# na ziwe kama ishara
|
|
|
|
Hii ni amri. Kwa kuamuru ya kwamba ziwe kama ishara, Mungu alizifanya zitumike kama ishara. "Na zitumike kama ishara" au "na zioneshe"
|
|
|
|
# ishara
|
|
|
|
Hapa inamaanisha kitu kinachofunua au kinacholenga jambo
|
|
|
|
# majira
|
|
|
|
"Majira" inamaanisha nyakati zitakazotengwa kwa sikukuu na mambo mengine ambayo watu hufanya.
|
|
|
|
# kwa majira, kwa siku na miaka
|
|
|
|
Jua, mwezi, na nyota huonyesha muendelezo wa muda. Hii inatusaidia kutambua ni wakati gani tukio hutokea kila wiki, mwezi au mwaka.
|
|
|
|
# ziwe mianga katika anga ili kutoa mwanga juu ya nchi
|
|
|
|
Hii ni amri. Kwa kuamuru ziwe mianga juu ya nchi, Mungu alifanya zimulike juu ya nchi
|
|
|
|
# kutoa mwanga juu ya nchi
|
|
|
|
"kutoa mwanga juu ya nchi" au "kuangazia nchi". Nchi haitoi mwanga yenyewe bali hupata mwanga na kurudisha mwanga.
|
|
|
|
# ikawa hivyo
|
|
|
|
"ilitokea kama hivyo" au "Hivyo ndivyo ilivyotokea". Mungu alichoamuru kilitokea kama alivyotamka kitokee. Msemo huu hujitokeza katika sura nzima na una maana ile ile kila unapojitokeza.
|