sw_tn/gen/01/01.md

554 B

Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na nchi

"Hii inahusu jinsi gani Mungu aliumba mbingu na nchi hapo mwanzo." Kauli hii inafupisha sura iliyobaki. Lugha zingine huitafsiri kama "Hapo zamani sana Mungu aliziumba mbingu na nchi."

Hapo mwanzo

Hii inalenga kuanza kwa dunia na kila kitu ndani mwake.

mbingu na nchi

"anga, ardhi, na kila kitu ndani yao"

mbingu

Hapa inamaanisha anga

Bila umbo na tupu

Mungu alikuwa hajaweka dunia katika mpangilio.

vilindi

"maji" au "maji ya kina kirefu" au "maji mengi"

maji

"maji" au "uso wa maji"