forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
554 B
Markdown
28 lines
554 B
Markdown
|
# Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na nchi
|
||
|
|
||
|
"Hii inahusu jinsi gani Mungu aliumba mbingu na nchi hapo mwanzo." Kauli hii inafupisha sura iliyobaki. Lugha zingine huitafsiri kama "Hapo zamani sana Mungu aliziumba mbingu na nchi."
|
||
|
|
||
|
# Hapo mwanzo
|
||
|
|
||
|
Hii inalenga kuanza kwa dunia na kila kitu ndani mwake.
|
||
|
|
||
|
# mbingu na nchi
|
||
|
|
||
|
"anga, ardhi, na kila kitu ndani yao"
|
||
|
|
||
|
# mbingu
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha anga
|
||
|
|
||
|
# Bila umbo na tupu
|
||
|
|
||
|
Mungu alikuwa hajaweka dunia katika mpangilio.
|
||
|
|
||
|
# vilindi
|
||
|
|
||
|
"maji" au "maji ya kina kirefu" au "maji mengi"
|
||
|
|
||
|
# maji
|
||
|
|
||
|
"maji" au "uso wa maji"
|