sw_tn/gal/06/03.md

607 B

ikiwa

"Kwa sababu." Hii neno inaonyesha kwamba maneno anayosema baadaye yatoa sababu za kwa nini Wagalatia lazima 1) "kuchukuliana mizigo" 6:1 au 2)kuwa waangalifu ili na wao wenyewe wasije wakajaribiwa (6:1) au " wasije wakajivuna (5:1)

yeye ni kitu

yeye ni mtu muhimu 'au' yeye ni bora kuliko ya wengine

Yeye si kitu

Yeye si muhimu 'au' hana bora kuliko ya wengine

Kila mmoja anapaswa

"Kila mtu lazima"

kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe

Kila mtu atahukumiwa kwa kazi yake mwenyewe tu' au 'kila mtu atawajibika kwa kazi yake mwenyewe tu"

kila mmoja ata..

"Kila mtu ata..."