forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
292 B
Markdown
8 lines
292 B
Markdown
# matendo ya mwili
|
|
|
|
Paulo anatumia neno "mwili" kama sitiari au mfano unaowakilishi asili ya mwanadamu."mambo yanayofanywa kama matokeo ya utu wa dhambi ya asili ya mtu"
|
|
|
|
# kurithi
|
|
|
|
Kupokea kile ambacho Mungu amekwisha kuwaahidi waumini kama kurithi mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.
|