sw_tn/gal/05/19.md

292 B

matendo ya mwili

Paulo anatumia neno "mwili" kama sitiari au mfano unaowakilishi asili ya mwanadamu."mambo yanayofanywa kama matokeo ya utu wa dhambi ya asili ya mtu"

kurithi

Kupokea kile ambacho Mungu amekwisha kuwaahidi waumini kama kurithi mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.