forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
451 B
Markdown
12 lines
451 B
Markdown
# wenyewe mmejivika Kristo
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) "mmekuwa sawa kama na ubinadamu wa Kristo" au 2) " mmekuwa na mahusiano sawa na Mungu kama ya Kristo
|
|
|
|
# Hakuna Myahudi wala Myunani, mtumwa wala huru, mwanaume wala mwanamke,
|
|
|
|
Mungu anaona kuwa hakuna utofauti kati ya wayahudi na wayunani, mtumwa na mtu huru, mwanamme na mwanamke.
|
|
|
|
# warithi
|
|
|
|
Watu ambao Mungu amewapa ahadi wanaongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.
|