sw_tn/gal/03/27.md

451 B

wenyewe mmejivika Kristo

Maana zinazowezekana ni 1) "mmekuwa sawa kama na ubinadamu wa Kristo" au 2) " mmekuwa na mahusiano sawa na Mungu kama ya Kristo

Hakuna Myahudi wala Myunani, mtumwa wala huru, mwanaume wala mwanamke,

Mungu anaona kuwa hakuna utofauti kati ya wayahudi na wayunani, mtumwa na mtu huru, mwanamme na mwanamke.

warithi

Watu ambao Mungu amewapa ahadi wanaongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.