forked from WA-Catalog/sw_tn
451 B
451 B
wenyewe mmejivika Kristo
Maana zinazowezekana ni 1) "mmekuwa sawa kama na ubinadamu wa Kristo" au 2) " mmekuwa na mahusiano sawa na Mungu kama ya Kristo
Hakuna Myahudi wala Myunani, mtumwa wala huru, mwanaume wala mwanamke,
Mungu anaona kuwa hakuna utofauti kati ya wayahudi na wayunani, mtumwa na mtu huru, mwanamme na mwanamke.
warithi
Watu ambao Mungu amewapa ahadi wanaongelewa kama warithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia.