sw_tn/gal/02/15.md

520 B

Sentensi Unganishi:

Paulo anawaambia waumini kwamba Wayahudi wanaojua sheria na Wamataifa ambao hawaijui sheria, wameokolewa kwa imani peke yake ndani ya Kristo na siyo kwa kutunza sheria.

si watu wa mataifa wenye dhambi

"siyo wale watu wa mataifa ambao wayahudi huwaita wenye dhambi"

Tulikuja katika imani ndani ya Kristo Yesu

"Tuliamini katika Kristo Yesu"

sisi

Huenda pengine hii inamrejelea Paulo na wengine, na si Wagalatia.

hakuna mwili

Neno mwili limetumika kuwakilisha mtu yaani "hakuna mtu"