forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
520 B
Markdown
20 lines
520 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anawaambia waumini kwamba Wayahudi wanaojua sheria na Wamataifa ambao hawaijui sheria, wameokolewa kwa imani peke yake ndani ya Kristo na siyo kwa kutunza sheria.
|
||
|
|
||
|
# si watu wa mataifa wenye dhambi
|
||
|
|
||
|
"siyo wale watu wa mataifa ambao wayahudi huwaita wenye dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Tulikuja katika imani ndani ya Kristo Yesu
|
||
|
|
||
|
"Tuliamini katika Kristo Yesu"
|
||
|
|
||
|
# sisi
|
||
|
|
||
|
Huenda pengine hii inamrejelea Paulo na wengine, na si Wagalatia.
|
||
|
|
||
|
# hakuna mwili
|
||
|
|
||
|
Neno mwili limetumika kuwakilisha mtu yaani "hakuna mtu"
|