forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
878 B
Markdown
24 lines
878 B
Markdown
# Aliniita kupitia neema yake
|
|
|
|
Maana zinazokubalika ni 1)"Mungu aliniita kumtumikia kwa sababu Yeye ni wa neema" au 2) " Aliniita kwa njia ya neema yake."
|
|
|
|
# kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu
|
|
|
|
Maana zinazokubalika 1)" kuniruhusu mimi nimjue Mwana wake" 2) "Ulimwengu umwone Yesu Mwana wa Mungu kupitia kwangu."
|
|
|
|
# Mwana
|
|
|
|
Hili ni jina muhimu la Yesu, Mwana wa Mungu
|
|
|
|
# kumtangaza Yeye
|
|
|
|
Kumtangaza kuwa Yeye ni Mwana wa Mungu" au "kuhubiri habari njema kuhusu Mwana wa Mungu"
|
|
|
|
# Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
|
|
|
|
Haya maelezo yanamaanisha kuzungumza na watu wengine. AT: " kuwaomba watu wanisaidie kuelewa ujumbe."
|
|
|
|
# kupanda
|
|
|
|
AT: "Kusafiri" Mji wa Yerusalem ulikuwa katika mkoa ulikuwa na milima mingi, ambayo ilimlazimu mtu kupanda milima mingi ili kufika huko, na hivyo ilikuwa kawaida kueleza kitendo cha kusafiri kwenda Yerusalemu kama "kupanda kwenda Yerusalemu."
|