forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
597 B
Markdown
20 lines
597 B
Markdown
# Maelezo ya kuhusisha
|
|
|
|
Ezra anamtukuza Mungu kwa sababu ya agizo la mfalme Artashasta
|
|
|
|
# aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem
|
|
|
|
kuweka vitu ndani ya moyo wa mfalme inamaaanisha kusababisha yeye kuwa mawazo na matakwa. AT:"kusababisha mfalme kutaka kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem
|
|
|
|
# Nyumba ya Yahwe
|
|
|
|
Hii inamaanisha hekalu la Yahwe
|
|
|
|
# Nilitiwa nguvu
|
|
|
|
kutiwa nguvu inamaanisha kutiwa moyo. AT"Nimetiwa moyo"
|
|
|
|
# kwa mkono wa Yahwe Mungu wangu
|
|
|
|
Hapa mkono wa Mungu inamaanisha alichokifanya kumsaidia Ezra. AT:"kwa sababu Yahwe amenisaidia mimi"
|