forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
537 B
Markdown
20 lines
537 B
Markdown
# Maelezo ya kuhusisha
|
|
|
|
hii inaendeleza agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra.
|
|
|
|
# vitu ambavyo ulipewa kwa hiari wew
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Vitu ambavyo tumevitoa kwa hiari kwako"
|
|
|
|
# Viweke vitu...mbele yake yeye
|
|
|
|
Neno "yeye" linamaanisha Mungu
|
|
|
|
# kwa huduma ya nyumba ya Mungu wako
|
|
|
|
Neno "huduma" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuhudumia" au "kutumia" "kazi" au "kuabudu" AT:"kutumia katika nyumba ya Mungu wako" au :kutumika katika nyumba ya Mungu wako"
|
|
|
|
# hazina
|
|
|
|
sehemu ya usalama ambapo fedha inatunzwa
|