forked from WA-Catalog/sw_tn
537 B
537 B
Maelezo ya kuhusisha
hii inaendeleza agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra.
vitu ambavyo ulipewa kwa hiari wew
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Vitu ambavyo tumevitoa kwa hiari kwako"
Viweke vitu...mbele yake yeye
Neno "yeye" linamaanisha Mungu
kwa huduma ya nyumba ya Mungu wako
Neno "huduma" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuhudumia" au "kutumia" "kazi" au "kuabudu" AT:"kutumia katika nyumba ya Mungu wako" au :kutumika katika nyumba ya Mungu wako"
hazina
sehemu ya usalama ambapo fedha inatunzwa