forked from WA-Catalog/sw_tn
960 B
960 B
Maelezo ya kuhusisha
Hii inaendelea na agizo la mfalme Artashasta alilompa ezra
Mimi, mfalme, na washauri wangu saba
neno "mimi" na msemo "Mfalme" linamaanisha mtu huyo huyo. Mfalme anakumbusha watu ambao watasikia barua kwamba yeye ndio mhusika wa hiyo barua.
kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu
kitu ambacho walitakiwa kuhulizia kinaweza kuelezewa vizuri zaidi. AT:"kuchunguza mwenendo katika Yuda na Yerusalem, ili kujifunza endapo au awatii sheria za Mungu"
Inakupasa kuleta dhahabu na fedha
Kitu walichoambiwa kuleta kinaweza kuelezwa vizuri.AT:"Inakupasa kuleta Yerusalem fedha na dhahabu"
fedha na dhahabu ambazo walitoa kwa hiari
"Hiari" inamaanisha hawakulazimishwa kutoa fedha. Walitoa kwa sababu walitaka. AT:"dhahabu na fedha ambazo walihiari kutoa"
Kitu gani cha hiari kilichotolewa na watu pamoja na makuhani
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Kitu gani watu na makuhani walitoa kwa hiari"