forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
596 B
Markdown
16 lines
596 B
Markdown
# Hili lilikuwa agizo
|
|
|
|
ujumbe uliofuata maelezo lilikuwa agizo lililotolewa na mfalme Artashasta
|
|
|
|
# Mfalme wa wafalme Artashasta
|
|
|
|
"Mfalme wa wafalme" ulikuwa ni wasifu, ukiwa unamaanisha kwamba alikuwa mkuu wa wafalme, mfalme ambaye wafalme wengine walimtii. AT:"Mfalme mkuu Artashasta" au "Artashasta, mkuu mfalme"
|
|
|
|
# Ninatoa amri kwamba mtu yeyote....ambaye anatamani kwenda Yerusalem
|
|
|
|
Katika siku zile watu walipenda ruhusa kutoka kwa mfalme kurekebisha na kujenga katika eneo zamani liliharibiwa na wavamizi wa taifa jingine.
|
|
|
|
# wanaweza kwenda pamoja na wewe
|
|
|
|
Neno "wewe" linamaanisha Ezra.
|