forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.1 KiB
Markdown
24 lines
1.1 KiB
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Hii inaanza na kumbukumbu Mfalme Koreshi akiamuru kwamba wayahudi wajenge hekalu la Mungu katika Yerusalem.
|
|
|
|
# Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi
|
|
|
|
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa kwanza wa kutawala. AT:"Katika mwaka 1 wa kutawala Mfalme Koreshi"
|
|
|
|
# Na nyumba iweze kujengwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Na wayahudi wajenge nyumba" au "Wayahudi lazima wajenge nyumba"
|
|
|
|
# upana sitini
|
|
|
|
"60 upana" unaweza kuibadilisha kwa vipimo vya kisasa" AT:mita ishirini na saba"
|
|
|
|
# sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu ya mbao
|
|
|
|
Maana inayowezekana ni 1) hii inaonyesha jinsi ya kujenga msingi. AT:"Ijengwe katika sehemu tatu za mawe makubwa ikizungukwa na sehemu za mbao" au 2) hii inaonyesha jinsi ya kujenga ukuta. AT:"Kujenga kuta zake kwa sehemu tatu zikiwa na mawe makubwa pamoja na sehemu moja inayozunguka ya miti"
|
|
|
|
# Na gharama zilipwe na nyumba ya mfalme
|
|
|
|
Msemo"nyumba ya mfalme" inamaanisha mali za mfalme Koreshi katika hazina ya ikulu. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT: "Nitalipa fedha hizo kutoka katika mfuko wa hazina"
|