forked from WA-Catalog/sw_tn
363 B
363 B
Maelezo ya Jumla:
Yule mtu anaendelea kunena na Ezekieli katika maono
chumba kinachoelekea kaskazini
"ambacho kilikuwa na lango la kuingia upande wa kaskazini"
yeye
"yule mtu"
dhiraa
Tazama tafsiri yake katika 40:5.
dhiraa mia moja
Kama mita arobaini na nne.
pamoja na madhabahu
"na ilipokuwa madhabahu"
nyumba
Hii inarejea kwa hekalu.