forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
893 B
Markdown
40 lines
893 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Ezekieli anaendelea kuelezea maono ya hekalu na ya yule mtu anayefanana na shaba.
|
|
|
|
# Madirisha yake
|
|
|
|
Neno "yake" inarejea kwa lango ambalo lilikuwa upande wa kusini mwa uwanja wa nje.
|
|
|
|
# vyumba vya ndani
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake tatika sura ya 40:5.
|
|
|
|
# ilikabiliana na lango lililoelekea mashariki
|
|
|
|
"ilikuwa kama lile lango lililoelekea mashariki"
|
|
|
|
# uwanja wa ndani
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.
|
|
|
|
# mbele ya lango linaloelekea kaskazini
|
|
|
|
"moja kwa moja kukatiza kutoka lango linaelekea kaskazini"
|
|
|
|
# pia kama kulikuwa na lango kuelekea magharibi
|
|
|
|
"pia kama kulikuwa na lango lililokuwa limeelekea uwanja wa ndani mbele ya lango kuelekea magharibi"
|
|
|
|
# lango moja kuelekea jingine
|
|
|
|
"kutoka lango la nje upande wa kaskazini kuelekea lango la ndani upande wa kaskazini"
|
|
|
|
# dhiraa
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.
|
|
|
|
# dhiraa mia moja
|
|
|
|
kama mita hamsini na nne
|