forked from WA-Catalog/sw_tn
893 B
893 B
Maelezo ya Jumla:
Ezekieli anaendelea kuelezea maono ya hekalu na ya yule mtu anayefanana na shaba.
Madirisha yake
Neno "yake" inarejea kwa lango ambalo lilikuwa upande wa kusini mwa uwanja wa nje.
vyumba vya ndani
Tazama tafsiri yake tatika sura ya 40:5.
ilikabiliana na lango lililoelekea mashariki
"ilikuwa kama lile lango lililoelekea mashariki"
uwanja wa ndani
Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16.
mbele ya lango linaloelekea kaskazini
"moja kwa moja kukatiza kutoka lango linaelekea kaskazini"
pia kama kulikuwa na lango kuelekea magharibi
"pia kama kulikuwa na lango lililokuwa limeelekea uwanja wa ndani mbele ya lango kuelekea magharibi"
lango moja kuelekea jingine
"kutoka lango la nje upande wa kaskazini kuelekea lango la ndani upande wa kaskazini"
dhiraa
Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5.
dhiraa mia moja
kama mita hamsini na nne