forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
425 B
Markdown
32 lines
425 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.
|
|
|
|
# Daudi mtumishi wangu
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22.
|
|
|
|
# juu yao
|
|
|
|
"juu ya watu wa Israeli"
|
|
|
|
# mchungaji mmoja juuyao
|
|
|
|
tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22.
|
|
|
|
# wataenenda kulingana na amri zangu
|
|
|
|
"wataishi kama nilivyo amuru"
|
|
|
|
# watazitunza amri zangu na kuzitii
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 18:19.
|
|
|
|
# alikaa
|
|
|
|
"aliishi"
|
|
|
|
# mkuu
|
|
|
|
"mwana mfalme"
|