forked from WA-Catalog/sw_tn
425 B
425 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.
Daudi mtumishi wangu
Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22.
juu yao
"juu ya watu wa Israeli"
mchungaji mmoja juuyao
tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22.
wataenenda kulingana na amri zangu
"wataishi kama nilivyo amuru"
watazitunza amri zangu na kuzitii
Tazama tafsiri yake katika sura ya 18:19.
alikaa
"aliishi"
mkuu
"mwana mfalme"