forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
633 B
Markdown
32 lines
633 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu Israeli.
|
|
|
|
# Nimewatawanya miongoni mwa mataifa; walitawanyika katika nchi tofauti tofauti.
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 12:14.
|
|
|
|
# walitawanyika katika nchi tofautitofauti
|
|
|
|
"nimewatawanya kupitia nchi tofauti tofauti"
|
|
|
|
# njia zao na matendo yao
|
|
|
|
"mambo ambayo waliyoyafanya"
|
|
|
|
# wakati watu
|
|
|
|
"kwa sababu watu wengine wamesema"
|
|
|
|
# nchi yake
|
|
|
|
Hii inarejea kwa nchi Israeli.
|
|
|
|
# nalikuwa na huruma kwa ajili ya langu langu takatifu
|
|
|
|
"najali kusu jina langu." "nalitaka watu wajue kwamba mimi ndimi Yahwe."
|
|
|
|
# nyumba ya Israeli
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.
|