forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
657 B
Markdown
28 lines
657 B
Markdown
# mateka
|
|
|
|
"vitu vilivypotea." Wachungaji na wanyama wa porini wamekuwa wakiiba kondoo na mbuzi kutoka kwa mifugo ya Yahwe.
|
|
|
|
# nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:17, "nitahukumu miongoni mwa kondoo."
|
|
|
|
# Nitaweka juu yao mchungaji mmoja
|
|
|
|
"nitamtuma mchungaji mmoja kuwa kiongozi wa kondoo na mbuzi wangu"
|
|
|
|
# mtumishi wangu Daudi
|
|
|
|
Yahwe amesema "Daudi" inarejea kwa uzao wa Dausi. "uzao wa mtumishi wangu Daudi."
|
|
|
|
# nitakuwa Mungu wao
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19.
|
|
|
|
# atakuwa mwana mfalme miongoni mwenu
|
|
|
|
"atakuwa mtawala"
|
|
|
|
# mimi, Yahwe, nimetangaza hivi
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:15.
|