sw_tn/ezk/34/22.md

657 B

mateka

"vitu vilivypotea." Wachungaji na wanyama wa porini wamekuwa wakiiba kondoo na mbuzi kutoka kwa mifugo ya Yahwe.

nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine

Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:17, "nitahukumu miongoni mwa kondoo."

Nitaweka juu yao mchungaji mmoja

"nitamtuma mchungaji mmoja kuwa kiongozi wa kondoo na mbuzi wangu"

mtumishi wangu Daudi

Yahwe amesema "Daudi" inarejea kwa uzao wa Dausi. "uzao wa mtumishi wangu Daudi."

nitakuwa Mungu wao

Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19.

atakuwa mwana mfalme miongoni mwenu

"atakuwa mtawala"

mimi, Yahwe, nimetangaza hivi

Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:15.