forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
508 B
Markdown
24 lines
508 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli.
|
|
|
|
# kama akirudisha dhamana
|
|
|
|
"kama akirudisha dhamana"
|
|
|
|
# dhamana
|
|
|
|
kitu ambacho mtu huacha kwa mtu mwingine kuonyesha kwamba atatunza ahadi yake kurudisha kile alichokiazima.
|
|
|
|
# akirudisha kwa kile alichokipoteza
|
|
|
|
"rudisha kile alichokipoteza"
|
|
|
|
# tembea katika maagizo yatoayo uzima
|
|
|
|
"kuishi kulinagana na sheria zitoazo uzima"
|
|
|
|
# Dhambi alizozifanya hazitakumbukwa kwa ajili yake
|
|
|
|
"sitashikilia dhambi yake yoyote juu yake."
|