forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
498 B
Markdown
20 lines
498 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.
|
|
|
|
# Haki ya mwenye haki haitamwokoa kama akikosa!
|
|
|
|
"Kama watu wenye haki wakianza kuasi, ukweli ni kwamba walikuwa wenye haki kabla hawatawaokoa"
|
|
|
|
# kama akiamini katika haki yake
|
|
|
|
"kama akitegemea juu ya haki yake." Mtu anafikiri kwamba kwa sababu alikuwa na haki Yahwe hatamwadhibu, hata kama akiasi.
|
|
|
|
# fanya isiyo haki
|
|
|
|
"fanya yaliyo maovu"
|
|
|
|
# kwa ajili ya uovu alioufanya
|
|
|
|
kwa sababu ya mambo maovu aliyoyafanya.
|