sw_tn/ezk/33/01.md

348 B

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

upanga juu ya nchi

Neno "upanga" linarejea kwa adui wa jeshi lishambulialo.

kumfanya mlinzi

"kumteua kama mlinzi"

usitilie manani

"puuza onyo"

damu ya kila mmoja iko juu ya kichwa chake mwenyewe

"ni kosa lao wenye kama wakifa"