forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
478 B
Markdown
36 lines
478 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli
|
|
|
|
# Waulize
|
|
|
|
"Waulize Misri na jeshi lake"
|
|
|
|
# Nenda chini
|
|
|
|
Inaonyesha kwamba wanaenda chini hata Sheoli.
|
|
|
|
# Wao
|
|
|
|
"Misri na jeshi lake"
|
|
|
|
# wataanguka
|
|
|
|
"watakufa"
|
|
|
|
# waliokuwa wameuawa kwa upanga
|
|
|
|
"ambao walikufa katika mapigano"
|
|
|
|
# Misri amepatiwa upanga
|
|
|
|
"Maadui wataishambulia Misri"
|
|
|
|
# maadui zake watamkamata na watumishi wake."
|
|
|
|
watumishi wake
|
|
|
|
# kuhusu Misri na washirika wake
|
|
|
|
"kuhusu Misri na wale waliojiunga nao"
|