forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
416 B
Markdown
16 lines
416 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea
|
|
|
|
# weka urefu wake
|
|
|
|
Hili fungu linaendelea kumrejea mfalme wa Ashuru, ambaye aliwakilishwa na mkangaze.
|
|
|
|
# Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa
|
|
|
|
"nimemuweka kwenye nguvu ya taifa imara zaidi." Neno "mkono" linawakilisha utawala.
|
|
|
|
# Nimeufukuza
|
|
|
|
"nimeupeleka mkangazi mbali kutoka nchi ya mkangazi kwa sababu mkangazi ulikuwa dhaifu"
|