forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
704 B
Markdown
32 lines
704 B
Markdown
# Bwana Yahwe asema hivi
|
|
|
|
tazama tafsiri yake katika sura ya 3:10.
|
|
|
|
# wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika
|
|
|
|
"wote mkono ambao ni mzima na mkono ambao umevunjika tayari"
|
|
|
|
# nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 20:23.
|
|
|
|
# nchi
|
|
|
|
"nchi"
|
|
|
|
# Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli
|
|
|
|
"nitaifanya mikono ya mfalme wa Babeli kuwa imara"
|
|
|
|
# Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli
|
|
|
|
Wakati mfalme wa Babeli atakapokuja kuiteka Misri, Farao atagugumia.
|
|
|
|
# gugumia
|
|
|
|
"Gugumia ni sauti kubwa ambayo watu hufanya wakati wanapokuwa na maumivu au kufa.
|
|
|
|
# kwa mgumio wa mtu anayekufa
|
|
|
|
"kama mtu anayekufa agumiavyo" au "kama mtu anayekufa"
|