sw_tn/ezk/25/12.md

326 B

Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu

Tazama tafsiri yake katika 25:6.

kutoka Temani hata Dedani

Haya ni majiji mawili mkabala na Edomu. Hii inamaanisha kwamba Mungu ataiangamiza Edomu yote.

Wataanguka kwa upanga

Neno "anguka" inawakilisha kuuawa na "upanga" inarejea kwa vita. "Maadui zao watawaua kwa upanga wao"