forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
342 B
Markdown
12 lines
342 B
Markdown
# utayeyuka
|
|
|
|
Hapa kupotea na kufa inazungumziwa kama kuyeyuka.
|
|
|
|
# katika uovu wako
|
|
|
|
Hii inaonyesha kwamba Mungu hatasamehe dhambi za hawa watu. Ingawa, baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kwa sababu ya dhambi zako"
|
|
|
|
# gugumia
|
|
|
|
sauti mtu afanyayo anapohitaji msaada, lakini maumivu au huzuni inakuwa kali sana kwamba hawawezi kuzungumza.
|