sw_tn/ezk/24/22.md

12 lines
342 B
Markdown

# utayeyuka
Hapa kupotea na kufa inazungumziwa kama kuyeyuka.
# katika uovu wako
Hii inaonyesha kwamba Mungu hatasamehe dhambi za hawa watu. Ingawa, baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kwa sababu ya dhambi zako"
# gugumia
sauti mtu afanyayo anapohitaji msaada, lakini maumivu au huzuni inakuwa kali sana kwamba hawawezi kuzungumza.