forked from WA-Catalog/sw_tn
342 B
342 B
utayeyuka
Hapa kupotea na kufa inazungumziwa kama kuyeyuka.
katika uovu wako
Hii inaonyesha kwamba Mungu hatasamehe dhambi za hawa watu. Ingawa, baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kwa sababu ya dhambi zako"
gugumia
sauti mtu afanyayo anapohitaji msaada, lakini maumivu au huzuni inakuwa kali sana kwamba hawawezi kuzungumza.