forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
467 B
Markdown
16 lines
467 B
Markdown
# Utakinyea kikombe cha dada yako
|
|
|
|
Kunywa kutoka kikombe kimoja ni njia nyingine ya kusema watazoea jambo moja. "Utazoea hukumu ileile kama dada yako"
|
|
|
|
# ambacho ni kirefu na kikubwa
|
|
|
|
Hii inarejea kwa kiasi cha hukumu kilichopokelewa. "hiyo ni kali"
|
|
|
|
# dhihaka ... kitu kwa ajili ya dhihaka
|
|
|
|
maneno haya yoye yanarejea kwa mtu anayechekwa na
|
|
|
|
# kikombe kimejaa kiasi kikubwa
|
|
|
|
Hii sentensi haisemi nini kilichopo katika kakombe kwa sababu imeeleweka kwa kusoma 23:30.
|