forked from WA-Catalog/sw_tn
1.0 KiB
1.0 KiB
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa nchi ya Israeli.
katilia mbali
Hii inamaanisha kuua "ua"
mwenye haki ... mwovu
Hii inarejea kwa watu wenye haki na waovu. "wale ambao ni wenye haki ... wale walio waovu" au "watu wenye haki ... watu waovu"
kutoka kwako
"miongoni mwako"
upanga wangu utatoka kutoka kwenye ala yake dhidi ya
Hii inamzungumzia Yahwe akifanya hawa watu kufa kana kwamba amewau hasa kwa upanga wake mwenyewe.
wenye miili wote
Hapa "mwili" ni mfani kwa "watu" "watu wote"
kutoka kusini kwenda kaskazini
Hii inarejea kwa eneo la kaskazini, na kusini, na maeneo yote ya katikati. "katika kila uelekeo" "kila mahali"
kwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake
Hii inamwongelea Yahwe akisababisha watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake.
Hautarudi tena
Hii inamzungumzia Yahwe haurudishi upanga wake kutoka kuwashambulia watu kana kwamba upanga ulikuwa mtu ambaye hakuwa ameshikilia upanga wenyewe kuurudisha kutoka kushambulia.