forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa nchi ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# katilia mbali
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuua "ua"
|
||
|
|
||
|
# mwenye haki ... mwovu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa watu wenye haki na waovu. "wale ambao ni wenye haki ... wale walio waovu" au "watu wenye haki ... watu waovu"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwako
|
||
|
|
||
|
"miongoni mwako"
|
||
|
|
||
|
# upanga wangu utatoka kutoka kwenye ala yake dhidi ya
|
||
|
|
||
|
Hii inamzungumzia Yahwe akifanya hawa watu kufa kana kwamba amewau hasa kwa upanga wake mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# wenye miili wote
|
||
|
|
||
|
Hapa "mwili" ni mfani kwa "watu" "watu wote"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kusini kwenda kaskazini
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa eneo la kaskazini, na kusini, na maeneo yote ya katikati. "katika kila uelekeo" "kila mahali"
|
||
|
|
||
|
# kwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake
|
||
|
|
||
|
Hii inamwongelea Yahwe akisababisha watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake.
|
||
|
|
||
|
# Hautarudi tena
|
||
|
|
||
|
Hii inamzungumzia Yahwe haurudishi upanga wake kutoka kuwashambulia watu kana kwamba upanga ulikuwa mtu ambaye hakuwa ameshikilia upanga wenyewe kuurudisha kutoka kushambulia.
|