forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
858 B
Markdown
28 lines
858 B
Markdown
# Mwana wa adamu
|
|
|
|
"Mwana wa mwanadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana uwezo na huishi milele, lakini watu hapana.
|
|
|
|
# neno la Yahwe likanijia
|
|
|
|
"Yahwe akanipatia ujumbe."
|
|
|
|
# weka uso wako kulekea Yerusalemu
|
|
|
|
Hii ni lahaja. Hii inamaanisha kwamba Yahwe anatupa hukumu juu ya Yerusalemu na kunena hukumu juu yake.
|
|
|
|
# Nitautoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake na kuwakatilia mbali wote yaani mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako
|
|
|
|
Hii inazungumzia Yahwe akiwafanya hawa watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake mwenyewe.
|
|
|
|
# mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako!
|
|
|
|
watu wenye haki na watu waovu." Hii inarejea kwa watu wengi, sio mtu mmoja menye haki na mtu mmoja mwovu.
|
|
|
|
# ala
|
|
|
|
kitu kinachoshikilia na kufunika upanga wakati unapokuwa hautumiki
|
|
|
|
# katilia mbali
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuua "ua"
|