sw_tn/ezk/18/07.md

8 lines
265 B
Markdown

# alirudisha amana
Mungu anafurahishwa na mkopeshaji anayerudisha amana ya mkopo kwa mkopaji hata kabla ya mkopaji kumlipa mkopeshaji.
# Huwapa chakula wenye njaa. Na kuwavika nguo walio uchi.
Mungu anapendezwa na walio wakarimu kwa wasio na chakula na mavazi.