sw_tn/ezk/15/07.md

16 lines
229 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu wa Israeli.
# ukiwa
ni mahali ambapo kila mtu ameondoka.
# wamefanya dhambi
"wameasi"
# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo
Tazama tafsiri yake katika 5:11.