forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
340 B
Markdown
16 lines
340 B
Markdown
# Ikawa kwamba
|
|
|
|
Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio la muhimu katika hadithi.
|
|
|
|
# Pelatia mwana wa Benaya
|
|
|
|
Alikuwa mmoja wa viongozi waovu wa Israeli aliyetajwa katika 11:1.
|
|
|
|
# ukanijaza kwenye uso wangu
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika 1:27.
|
|
|
|
# Ee
|
|
|
|
Ezekieli anasema hivi kuonyesha hofu yake kuhusu nini kitatokea kwa watu waliosalia huko.
|