sw_tn/ezk/11/13.md

16 lines
340 B
Markdown

# Ikawa kwamba
Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio la muhimu katika hadithi.
# Pelatia mwana wa Benaya
Alikuwa mmoja wa viongozi waovu wa Israeli aliyetajwa katika 11:1.
# ukanijaza kwenye uso wangu
Tazama tafsiri yake katika 1:27.
# Ee
Ezekieli anasema hivi kuonyesha hofu yake kuhusu nini kitatokea kwa watu waliosalia huko.