forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Ikawa kwamba
Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio la muhimu katika hadithi.
Pelatia mwana wa Benaya
Alikuwa mmoja wa viongozi waovu wa Israeli aliyetajwa katika 11:1.
ukanijaza kwenye uso wangu
Tazama tafsiri yake katika 1:27.
Ee
Ezekieli anasema hivi kuonyesha hofu yake kuhusu nini kitatokea kwa watu waliosalia huko.