sw_tn/ezk/11/02.md

16 lines
474 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono.
# Mwanadamu
"Mwana wa binadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni binadamu tu. Mungu ana uweza na anaishi milele, lakini si watu.
# huu mji ni sufuria, na sisi ni nyama
Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama.
# sufuria
sufuria kwa ajili ya kutunzia nyama au sufuria ya kupikia nyama.