forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
474 B
Markdown
16 lines
474 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono.
|
||
|
|
||
|
# Mwanadamu
|
||
|
|
||
|
"Mwana wa binadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni binadamu tu. Mungu ana uweza na anaishi milele, lakini si watu.
|
||
|
|
||
|
# huu mji ni sufuria, na sisi ni nyama
|
||
|
|
||
|
Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama.
|
||
|
|
||
|
# sufuria
|
||
|
|
||
|
sufuria kwa ajili ya kutunzia nyama au sufuria ya kupikia nyama.
|