forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
482 B
Markdown
24 lines
482 B
Markdown
# akaongea na wengine kupitia kusikia
|
|
|
|
Neno "wengine" linarejea kwa walinzi.
|
|
|
|
# Msiache macho yenu yawe na huruma
|
|
|
|
"Msiwe na huruma juu ya watu mnaowaona.
|
|
|
|
# msiogope
|
|
|
|
"msiepuke kuuawa"
|
|
|
|
# alama juu ya kichwa chake
|
|
|
|
Hawa walikuwa watu waliogugumia kuhusu machukizo yanayotokea katika Yerusalemu.
|
|
|
|
# Anzeni katika patakatifu pangu
|
|
|
|
"Kuanza kuwaua wale ambao hawana alama katika patakatifu pangu"
|
|
|
|
# wazee
|
|
|
|
Maana zinazowezekana 1) "wazee sabini wa nyumba ya Israeli" 2) "mzee yeyote"
|